J.opola.ECONOMIST

J.opola.ECONOMIST

Share

Economics planning and innovation for sustainable development.

03/07/2026

Vijana tunaweza ..kikubwa tudumishe amani ili tufikie maendeleo yetu tunayoyapambania ..tujitaidi kuishi kwenye uhalisia na sio hisia.
VIJANA PLATFORM HALMASHAURI Ipo katika mikono salama na ata Mkimbiza mwenge kitaifa Ndg: Mwang'Onda alitambua hilo na sasa nikazi kazi vijana tukutane site tuyajenge tanzania ni yetu soteπŸ™πŸ™πŸ™πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ@ academy@ #
@ @ #
@ ya maendeleo ya vijana@ #

28/06/2026

"Katika Maisha na maswala ya kifedha na uchumi usiongozwe na hisia bali uhalisia" ..By CFE.justine opola ,Mtendaji mkuu Mount kibo saccos na Mwenyekiti wa Vijana Platform Halmashauri ya Wilaya ya Moshi@ @ # Vijanaplatform Moshi@ #

25/06/2026

Namshukuru Mungu na uongozi mzima wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi (V) kwa kuniona ninastahili kuwa mtoa mada kwenye tukio hili kubwa la Vijana platform .
Karibuni tupeane mwanga na mbinu za kuifanya fedha itufanyie kazi na sio sisi kuifanyia kazi fedha.βœοΈπŸ“šπŸ™πŸ™πŸ™By CFE.Justine Opola

20/06/2026

Wafuasi wangu wote wa # financial Academy #@ msipange kukosa kunifatilia live bila chenga na tutakumbushana mambo mengi sana....je wajua unatakiwa mkopo unaokopa isizidi asilimia ngapi ya kipato chako cha mwezi?? Au wewe unakopa tu??😁😁😁 Basi yote haya utayajua leo

02/06/2026
30/05/2026

Je mkopo ni nzuri au mbaya kwa mtu anaeanza biashara au uwekezaji ???
Naomba mawazo ili tushauriane namna nzuri ya kukopa
By CFE.Opola

08/05/2026

Msaidizi wa kweli kwa wenye ndoto ya kukumbukwa duniani ni Mount kibo SACCOS LTD..karibu sana ujiunge πŸ–ŠοΈπŸ–ŠοΈ

Want your business to be the top-listed Accountant in Moshi?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Website

Address

541
Moshi
06